Tickets

Tiketi za kombe la dunia 2010
Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania linapenda kuujulisha umma kuwa taratibu za tiketi za kombe la dunia zilizokuwa zinangojewa kutoka FIFA sasa zimekamilika.

Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania linapenda kuujulisha umma kuwa taratibu za tiketi za kombe la dunia zilizokuwa zinangojewa kutoka FIFA sasa zimekamilika.

Taratibu hizo zimekamilika baada ya FIFA kutuma Invoice kwa TFF ambapo sasa watu wote walioomba kununua tiketi wanatakiwa kuzilipia tiketi hizo ndani ya siku tatu zijazo ili fedha ziweze kutumwa FIFA hatimaye tiketi ziweze kutumwa hapa nchini.

Idadi ya tiketi

Jumla ya tiketi ambazo tunazungumzia hapa ni 290 (mia mbili tisini). Hii ndiyo idadi ambayo imetengwa kwa kila nchi ambayo timu yake ya taifa haishiriki fainali za kombe la dunia (Non participating Member countries).

Tiketi hizo zimegawanywa kama ifuatavyo; Katika hatua ya makundi isipokuwa kwa mchezo wa ufunguzi, mzunguko wa pili (16 bora), robo fainali na mechi ya kutafuta mshindi wa tatu kua jumla ya tiketi 250 (mia mbili hamsini) na idadi ya juu kwa ya tiketi kwa kila mchezo haizidi 20 (ishirini).

Kwa upande wa mchezo wa ufunguzi, nusu fainali mbili na fainali kuna tiketi 40 (arobaini) ambapo kila mchezo kuna tiketi zisizozidi 10 (kumi).

Maombi ya tiketi

Maombi ya tiketi yaliyowasilishwa TFF ni zaidi ya tiketi 700 (mia saba). Na hali halisi ni kwamba maombi mengi ambayo yanazidi kwa mbali idadi ya tiketi zilizopo ni kwa upande wa michezo miwili ya nusu fainali na fainali.

Kwa mfano wakati tiketi zilizo ni 10 kwa kila mchezo katika hatua hizo za nusu fainali na fainali, jumla ya tiketi zilizoombwa kwa nusu fainali ya kwanza ni 143 (mia moja arobaini na tatu) nusu fainali ya pili 137 (mia moja thelathin na saba) na fainali maombi ni 126 (mia moja ishirini na sita).

Hatua nyingine ya Kombe a Dunia inayofuatia kwa maombi kuzidi idadi ya tiketi zilizopo ni ile ya robo fainali japo maombi si mengi ikiliganishwa na nusu fainali na fainali.

Kwa hali hiyo ilivyo ni wazi kabisa kuwa wapo watu walioomba ambao hawatapata tiketi.

Hata hivyo habari njema zaidi ni kwa wale waliojikita zaidi katika kuomba tiketi za hatua ya makundi hadi zile za hatua ya 16 bora. Kwa asilimia kubwa watu walioomba tiketi za hatua hizi watapata kulingaa na maombi yao isipokuwa tu maeneo machache mno ambayo hatukuweza kupata tiketi pamoja na kwamba maombi yalikuwepo – hilo liko nje ya uwezo wa TFF.

Bei na Malipo

Tiketi za hatua ya makundi isipokuwa mchezo wa ufunguzi (ambao una bei tofauti) bei ya juu ya tiketi ni dola za marekani 160 na ya chini kabisa ni dola za marekani 80.

Katika hatua ya 16 bora bei ya juu ni dola 200 wakati ya chini ni dola 100. Na katika hatua ya ro fainali bei ya juu ni dola 300 na bei ya chini ni dola 150.

Ama kwa upande wa nusu fainali bei ya juu ni dola 600 na ya chini ni dola 250 wakati kwa fainali bei juu ni dola 900 na ya chini ni dola 400. Tiketi zote za nusu fainali na fainali ni za dola 900.

Mchezo wa ufunguzi kiwango cha juu cha bei ni dola 450 na bei ya chini ni dola 250 wakati kwa mchezo wa mkutafuta mshindi wa tatu bei ya juu ni dola 300 na ya chini ni dola 150.

Fedha za tiketi zinapaswa kutumwa FIFA tarehe 18/03/2010 kwa hiyo watu wote walioomba kununua tiketi wanatakiwa kuwasiliana TFF kwa malipo. Tiketi amabzo hazitalipiwa ifikapo Jumanne tarehe 16/03/2010 zitagawiwa kwa waombaji wengine wtakaokuwa tayari kulipia.

Malipo ya tiketi yanapaswa kuwasilishwa TFF kuanzia saa 3.30 na subuhi hadi saa 8 mchana ili ziweze kupelekwa benki.

Muhimu: Kutakuwepo na ada ya asilimia 10 ya bei ya tiketi kwa ajili ya gharama za kutuma fedha na utawala. Malipo yote ni katika dola za Marekani tu.

Maombi ya tiketi za nyomgeza

Kutokana na maobi yaliyowasilishwa kuwa mengi kuliko idadi ya tiketi zilizopo TFF iliwasilisha katika ofisi ya FIFA iayohusika na tiketi maombi ya tiketi za nyongeza zipatazo 450 (mia nne hamsini).

FIFA imetujibu kuwa maombi hayo ya tiketi za nyongeza yanashughulikwa na watatupa majibu kamili ya kupatikana au kutopatikana kwa tiketi hizo hapo baadaye.

TFF inawasihi wale wote walioomba tiketi lakini hawatapata katika mgawo huu au watapata kidogo kuliko walivyoomba kuwa wavumilivu na watajulishwa juu ya majibu ya FIFA kuhusu tiketi za nyongeza pindi tu majibu hayo yatakapopatikana.

Fredrick Mwakalebela KATIBU MKUU - Tanzania Football Federation

Burco Safaris
Experience soccer and Culture!

Welcome Tanzania, the home for cultural Expedition
Despite Tanzania being the land superlatives and extra ordinary attractions it is also the best site in the World for cultural expeditions. Everyone is aware that soccer is best culture unifying tool therefore the 2010 will be the best chance for global people to visit Tanzania to experience how more than 120 tribes lives together with their gorgeous displays.
In order to honor our customers who will visit Tanzania; Burco Safaris has prepare something unique and special that will make everyone enjoy the enticing cultural set up in Tanzania. A brilliant 3-5 days of cultural safari to Dar es Salaam, Bagamoyo and Zanzibar will make you observe how local people set their life. Just see how they prepare their tantalizing meal, how they prepare and wear their garments, how they dance, how they prepare and utilizing natural herbs


Itinerary
Day 1

Arrive at Dar es Salaam Air Port and transfer to hotel

Day 2
Start a cultural city tour to experience the nature of the Dar es Saalam City

Day 3

After breakfast drive to Bagamoyo for the fantastic cultural-historical experience, then late afternoon back to Dar es Salaam

Day 4
Fly to Zanzibar to experience the Island of spices

Day 5
Fly back to Dar, and then prepare for departure

End of Service

Omong’we Travel to offer 2010 World Cup Packages
Omong'we Travel & Tours, a travel company based in Dar Es Salaam, Tanzania has finalized plans to offer 2010 World Cup tour packages during the time of first- African World Cup to be staged in South Africa in June and July 2010.

Omong'we Travel & Tours, a travel company based in Dar Es Salaam, Tanzania has finalized plans to offer 2010 World Cup tour packages during the time of first- African World Cup to be staged in South Africa in June and July 2010.
The clients can customize their vacations by choosing a combination of safari to endless plains of Serengeti, world-famous Ngorongoro Crater, Lake Manyara or Tarangire National Parks, climb Mount Kilimanjaro or visit white-sandy beaches of Zanzibar. The Tanzanian tour package can then be combined with South African tour packages in order to provide end-to-end travel experience to clients.
To facilitate the travel arrangements for its clients, Omong'we Travel & Tours has entered into an agreement with XL Turners Travel, one of the most respected travel management companies in South Africa.
XL Turners Travel can arrange for airport transfers, South African domestic tourism activities, hotel reservations, local airline, ferries and rail reservations.
Ndutu Safari Lodge
Planning to visit Tanzania?

Ndutu Safari Lodge is situated in the Ngorongoro Conservation Area in the southern Serengeti eco-system, overlooking a soda Lake. The safari lodge still has the informal, intimate feeling of the original bush camp, built by legendary hunter George Dove in the 60's.

Ndutu Lodge has been a favorite with professional wildlife photographers and filmmakers for the past four decades, because it’s simply one of the best places to watch wildlife.

Come and stay with us!
Spot wild animals in the day and get inspired by the magic of the Serengeti landscape. And in the evenings you can gather around the campfire, share your stories with each other and admire the thousands of stars above you.

Coastal Travel
FIFA 2010 TRAVEL AGENT SPECIAL

Flying Safari in Tanzania
Ngorongoro, Ruaha, Selous and Dar in 10 days at USD 2000 per person sharing
All inclusive

Coastal Travel
FIFA 2010 TRAVEL AGENT SPECIAL

Flying Safari in Tanzania
Ngorongoro, Ruaha, Selous and Dar in 10 days at USD 2000 per person sharing
All inclusive

Coastal Travel
FIFA 2010 TRAVEL AGENT SPECIAL

Flying Safari in Tanzania
Ngorongoro, Ruaha, Selous and Dar in 10 days at USD 2000 per person sharing
All inclusive

Visit Zanzibar 2010
Step into the world of Dr Livingstone while in Zanzibar

There is an archipelago just twenty miles off the coast of Africa. It is a historic place, a market place, and a farm. It welcomes tourists to its miles of sandy beaches and amazing diving, but they are not its first guests. Zanzibar has, over the centuries, played host to many people in search of rest.......
Getting to Tanzania Tourist attractions

While in the country, you can visit any of your favourite tourist attractions. The places are easily accessed through the services rendered by Tour operators.
Transport varies from air chartered, boats to land transports. There are good and professional Tour guides who will be in hand to show you the beauty of Tanzania, The Land of Kilimanjaro, Zanzibar and The Serengeti.
Do you know where to stay while in Tanzania?

Tanzania has a vast number of accomodation varying from the five star Hotels to Tented camps and Restaurants.
A visitor coming to Tanzania can find the accomodation basing on his/her planned budget.
Follow the link below to search for the type of accomodation that fits your requirements and budget.
Getting to Tanzania

The Gateways to Tanzania
By Air
Tanzania has three International airports; Dar es Salaam International Airport which handles most international fligths, Kilimanjaro International Airport and Zanzibar International Airport. The airlines flying into Tanzania's airports are as follows:

Dar es Salaam International Airport
Air Tanzania, Air Zimbabwe, Air India, Air Mozambique, Air Malawi, British Airways, Emirates, Ethiopian Airline, KLM, Precision Air, South African Airways and Swiss Air

Kilimanjaro International Airport
Air Kenya, Ethiopian Airline, KLM and Precision Air

Zanzibar International Airport
Air Tanzania, Kenya Airways, Precision Air and South African Airways

By Road
From the north paved road connected Kenyan capital of Nairobi with Arusha and cross the border at Namanga post. A number of shuttle buses ,leaving twice daily between the two cities,also follow this route. The route takes aproximately 4-6 hours from South, the road from Malawi enters Tanzania at Karonga before continuing onwards to Mbeya. There no viable bus services on this route, It is possible to cross border from Uganda at the Mutukula border post, but transport options are are equally limited.
Internal roads connect Arusha and Dar es Salaam to major towns around the country. Roads to major tourist destinations are either already paved or under construction. The road from Arusha to Tarangire National Park to Ngorongoro Crater has been completed . A number of reliable bus services running throughout Tanzania are Hood Bus Services,Buffalo Coach, Mohamed Trans,Sumry High Class Coach,Royal Coach,Dar Express and Fresh Coach
Breezes Beach Club & SPA Zanzibar

It's astonishingly beautiful!!!!!
Winner "Best Resort in Tanzania!" World Travel Awards
Zanzibar Serena Inn

In the legendary Stone Town of Zanzibar, an island whose very name evokes Africa's exotic past, lies...
The PALMS Zanzibar

The Number 1 on the Top Ten Island Destination
Zanzibar Safari Club

The Hotel is idyllically located on the shores of the Indian Ocean, in Uroa, on the Eastern Coast of the Island, 35 km from Stone Town. Characterised by its exquisite taste and attention to detail, elegantly decorated with an exclusive collection of artiques......
Countdown to 2010 Fifa World Cup